Baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salim Jecha kuwataka waandishi wote wa habari za kiuchunguzi pamoja na watafiti kuweka hadharani na kuueleza umma kile kilichotokea Zanzibar, Waandishi na watafiti mabalimbalai wamejitokeza na vielelezo vinavyoeleza jinsi uchaguzi huo ulivyoharibika Vielelezo hivyo ni Nakala za fomu namba MUR. 12A za matokeo zilizotoka katika vituo vya kujumuisha kura ambazo zilikuwa zimejazwa kimakosa. Hii ni fomu kutoka Kituo cha Skuli ya Mabaoni namba 23801 , Jimbo la Chonga namba 2909 fomu hii siyo halali kutokana na kukosa mhuri wa tume ya uchaguzi Zanzibar. Msimamizi wa kituo ni Khamis mkungwa Zaid. Fomu nyingine inatoka katika kituo cha Urusi chenye namba 26503, katika jimbo la Jang’ombe namba 1940 A. Hii ni fomu kutoka kituo cha Gamba namba 2008 Hii ni fomu kutoka kituo cha Gamba namba 2008, Jimbo la Mkwajuni namba 1926, fomu hii imepoteza uhalali kwasababu imefutwafutwa na haina...
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akitembelea kiwanda cha Ivori Food & Bevarage leo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan katikati akiongozana na mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza kushoto na mkurugenzi wa kiwanda cha Ivori Food & Bevaragena mkurugenzi Mtendaji Suhail Esmail Thakore Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akisalimiana makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan leo mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha Ivory Bw Suhail Esmail Thakore akitoa taarifa ya kiwanda hicho Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kutembelea kiwanda cha Ivory Iringa Na Matukiodaima Blog MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSamia Suluhu ...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU GHARAMA ZA MATIBABU YA DAWA YA SUMU YA NYOKA NCHINI Kama tunavyofahamu, nchi yetu ina aina mbalimbali za nyoka ambao pindi wakimuuma mtu huleta madhara mbalimbali ya kiafya. Aidha tunafahamu kwamba tatizo hili lipo zaidi katika maeneo ya vijijini ambako uwezo wa wananchi kumudu gharama za matibabu ni mdogo. Dawa za kutibu sumu ya nyoka huagizwa kutoka nje ya nchi. Dawa hizo siyo tu hazipatikani kwa urahisi, bali pia zinapatikana kwa gharama kubwa. Bei ya kununulia dawa hizi ni kati ya dola za kimarekani 55 hadi 85 (yaani shilingi za kiTanzania 118,250 hadi 182,750) kwa kichupa kidogo (vial) kimoja. Kichupa hicho huweza kutumika kwa wagonjwa wanne, lakini mara tu baada ya kufunguliwa dawa hiyo huwa haifai tena kutumika ndani ya mwezi mmoja tu. Pamoja na changamoto hizo, Serikali kupitia MSD kila mwaka huagiza dawa hizi kwa ajili ya mahitaji hayo ya kutibu wagonjwa walioumwa na nyoka, ambapo bei ya kuinunua kutoka MSD ni TZS 200,000/= kwa kichupa kim...
Comments
Post a Comment