Baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salim Jecha kuwataka waandishi wote wa habari za kiuchunguzi pamoja na watafiti kuweka hadharani na kuueleza umma kile kilichotokea Zanzibar, Waandishi na watafiti mabalimbalai wamejitokeza na vielelezo vinavyoeleza jinsi uchaguzi huo ulivyoharibika Vielelezo hivyo ni Nakala za fomu namba MUR. 12A za matokeo zilizotoka katika vituo vya kujumuisha kura ambazo zilikuwa zimejazwa kimakosa. Hii ni fomu kutoka Kituo cha Skuli ya Mabaoni namba 23801 , Jimbo la Chonga namba 2909 fomu hii siyo halali kutokana na kukosa mhuri wa tume ya uchaguzi Zanzibar. Msimamizi wa kituo ni Khamis mkungwa Zaid. Fomu nyingine inatoka katika kituo cha Urusi chenye namba 26503, katika jimbo la Jang’ombe namba 1940 A. Hii ni fomu kutoka kituo cha Gamba namba 2008 Hii ni fomu kutoka kituo cha Gamba namba 2008, Jimbo la Mkwajuni namba 1926, fomu hii imepoteza uhalali kwasababu imefutwafutwa na haina...
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akitembelea kiwanda cha Ivori Food & Bevarage leo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan katikati akiongozana na mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza kushoto na mkurugenzi wa kiwanda cha Ivori Food & Bevaragena mkurugenzi Mtendaji Suhail Esmail Thakore Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akisalimiana makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan leo mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha Ivory Bw Suhail Esmail Thakore akitoa taarifa ya kiwanda hicho Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kutembelea kiwanda cha Ivory Iringa Na Matukiodaima Blog MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSamia Suluhu ...
Comments
Post a Comment