MAKAMU WA RAIS APONGEZA KIWANDA CHA IVORY FOOD& BEVARAGE IRINGA
![]() |
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan katikati akiongozana na mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza kushoto na mkurugenzi wa kiwanda cha Ivori Food & Bevaragena mkurugenzi Mtendaji Suhail Esmail Thakore |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akisalimiana makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan leo |
![]() |
mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha Ivory Bw Suhail Esmail Thakore akitoa taarifa ya kiwanda hicho |
MAKAMU
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
TanzaniaSamia Suluhu Hassan amepongeza
uwekezaji mkubwa uliofanywa na kiwanda cha Ivori Food &
Bevarage cha Iringa kuwa ni hatua
kubwa ya mapinduzi
ya serikali ya viwanda nchini .
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
TanzaniaSamia Suluhu Hassan amepongeza
uwekezaji mkubwa uliofanywa na kiwanda cha Ivori Food &
Bevarage cha Iringa kuwa ni hatua
kubwa ya mapinduzi
ya serikali ya viwanda nchini .
Akizungumza
leo baada ya kutembelea
kiwanda hicho eneo la
Ipogolo makamu wa Rais
alisema kuwa serikali imejikita kuweka
mazingira bora kwa wawekezaji
pamoja na kuona
wananchi wanapata ajira
katika viwanda hivyo .
leo baada ya kutembelea
kiwanda hicho eneo la
Ipogolo makamu wa Rais
alisema kuwa serikali imejikita kuweka
mazingira bora kwa wawekezaji
pamoja na kuona
wananchi wanapata ajira
katika viwanda hivyo .
“
Ndugu zangu tunaelekea
kwenye Tanzania ya
viwanda kwa kujenga
uchumi mpya katika
nchi yetu kama tukiwa na
viwanda vitano ama kumi kama hivi
basi uchumi wetu
utazidi kukuwa zaidi “
Ndugu zangu tunaelekea
kwenye Tanzania ya
viwanda kwa kujenga
uchumi mpya katika
nchi yetu kama tukiwa na
viwanda vitano ama kumi kama hivi
basi uchumi wetu
utazidi kukuwa zaidi “
Hata
hivyo alitaka ili kuwa na uchumi zaidi na
viwanda kuweza kusonga mbele
ni vema kila mwananchi kutunza amani
na kuepuka kuvuruga amani iliyopo .
hivyo alitaka ili kuwa na uchumi zaidi na
viwanda kuweza kusonga mbele
ni vema kila mwananchi kutunza amani
na kuepuka kuvuruga amani iliyopo .
“
Ninachowaomba ndugu zangu
tuchape kazi Tanzania yetu
isonge mbele hivyo
wote ambao mmepata
kazi katika kiwanda hiki
chapeni kazi ili nchi
yetu izidi kuendelea
kiuchumi “
Ninachowaomba ndugu zangu
tuchape kazi Tanzania yetu
isonge mbele hivyo
wote ambao mmepata
kazi katika kiwanda hiki
chapeni kazi ili nchi
yetu izidi kuendelea
kiuchumi “
Alisema
kuwa kiwanda hicho
kimekuwa nguzo kubwa ya
uchumi katika mkoa
wa Iringa na Tanzania
kwani ni miongoni mwa
viwanda ambavyo vinafanya
vizuri na vinazidi
kujitanua zaidi kwa kufunga
mashine mpya za
kisasa .
kuwa kiwanda hicho
kimekuwa nguzo kubwa ya
uchumi katika mkoa
wa Iringa na Tanzania
kwani ni miongoni mwa
viwanda ambavyo vinafanya
vizuri na vinazidi
kujitanua zaidi kwa kufunga
mashine mpya za
kisasa .
Akitoa
taarifa ya kiwanda
hicho cha Ivori Food &
Bevarage na mkurugenzi Mtendaji Suhail Esmail
Thakore alisema kuwa
kiwanda kilianzishwa mwaka 2007
na kuwa kiwanda
hicho kinajishughulisha na
uzalishaji mbali mbali zikiwemo
pipi ,Cocoa Poda, Tomato
Sauce na Chocolate .
taarifa ya kiwanda
hicho cha Ivori Food &
Bevarage na mkurugenzi Mtendaji Suhail Esmail
Thakore alisema kuwa
kiwanda kilianzishwa mwaka 2007
na kuwa kiwanda
hicho kinajishughulisha na
uzalishaji mbali mbali zikiwemo
pipi ,Cocoa Poda, Tomato
Sauce na Chocolate .
Kuwa
kiwqanda hicho wakati
kinaanzishwa kilikuwa na wafanyakazi 20 na
kilianza na mtaji wa
fedha kiasi cha shilingi milioni 70 kikiwa
kinazalisha Tomato Sauce .
kiwqanda hicho wakati
kinaanzishwa kilikuwa na wafanyakazi 20 na
kilianza na mtaji wa
fedha kiasi cha shilingi milioni 70 kikiwa
kinazalisha Tomato Sauce .
“ Upanuzi
wa kiwanda ulianza mwaka 2009
tulifanya upanuzi wa
kiwanda kwa kuanzisha
uzalishaji wa pipi Ivory
kwa mtaji wa
shilingi bilioni 1.5 mwaka 2014
tulianzisha kiwanda cha Chocolate
na cocoa Poda kwa mtaji wa
shilingi bilioni 3”
wa kiwanda ulianza mwaka 2009
tulifanya upanuzi wa
kiwanda kwa kuanzisha
uzalishaji wa pipi Ivory
kwa mtaji wa
shilingi bilioni 1.5 mwaka 2014
tulianzisha kiwanda cha Chocolate
na cocoa Poda kwa mtaji wa
shilingi bilioni 3”
Alisema
kuwa kiwanda kinatumia
malighafi toka ndani
ya nchi ikiwemo cocoa
tpoka Kyela ,nyanya toka
Ilula wilaya ya Kilolo na mahindi
toka Iringa , Ruvuma
na Rukwa .
kuwa kiwanda kinatumia
malighafi toka ndani
ya nchi ikiwemo cocoa
tpoka Kyela ,nyanya toka
Ilula wilaya ya Kilolo na mahindi
toka Iringa , Ruvuma
na Rukwa .
Hata hivyo
alisema kutokana na uzalishaji
mzuri na ubora wa
bidhaa za kiwanda hicho wamefanikiwa kushindana
na masoko ya
nje kama Kenya na
nchi nyingine hasa
katika soko la Pipi na
cocoa Poda .
alisema kutokana na uzalishaji
mzuri na ubora wa
bidhaa za kiwanda hicho wamefanikiwa kushindana
na masoko ya
nje kama Kenya na
nchi nyingine hasa
katika soko la Pipi na
cocoa Poda .
Tulipo anzisha
kiwanda cha pipi
tulikuwa na viwanda saba
katika soko la Tanzania hadi
sasa viwanda vilivyobaki
ni viwili na
tuna mshindani aliyebaki
ambaye ana hali mbaya
zaidi tunaweza kupata
masoko katika nchi
za Kenya , Uganda , Msumbiji ,
Burundi na Jamhuri
ya kidemokrasia ya
congo “
kiwanda cha pipi
tulikuwa na viwanda saba
katika soko la Tanzania hadi
sasa viwanda vilivyobaki
ni viwili na
tuna mshindani aliyebaki
ambaye ana hali mbaya
zaidi tunaweza kupata
masoko katika nchi
za Kenya , Uganda , Msumbiji ,
Burundi na Jamhuri
ya kidemokrasia ya
congo “
Alisema kuwa
kiwanda kimeweza kutoa
ajira kwa vijana
150 kati ya hao
ajira ya kudumu
ni watu 105
na ajira ya muda
n watu 45 .
kiwanda kimeweza kutoa
ajira kwa vijana
150 kati ya hao
ajira ya kudumu
ni watu 105
na ajira ya muda
n watu 45 .
Pia alisema
kiwanda hicho kimeweza kuzaa kiwanda kingine
cha pipi ambapo ujenzi umekamilika
na mashine zimeshafika
ndani ya kipindi cha miezi mitatu hadi mine
kitaanza kazi ya uzalishaji
na kutoa ajira kwa vijana 60.
kiwanda hicho kimeweza kuzaa kiwanda kingine
cha pipi ambapo ujenzi umekamilika
na mashine zimeshafika
ndani ya kipindi cha miezi mitatu hadi mine
kitaanza kazi ya uzalishaji
na kutoa ajira kwa vijana 60.
Bwana Thakore alizitaja changamoto
zinazokabili kiwanda hicho
kuwa ni sukari ya
viwandani ambayo waliomba tani
3000 kwa mwaka huu wa serikali 2017/18 ila
wamepata tani 416 mwezi
Oktoba .
zinazokabili kiwanda hicho
kuwa ni sukari ya
viwandani ambayo waliomba tani
3000 kwa mwaka huu wa serikali 2017/18 ila
wamepata tani 416 mwezi
Oktoba .
“ Jumla ya
mzigo wote ambao
tumepata ni tani 848 ambao tumepokea
lakini baada ta timu ya
Vwrification kupita kwetu
na tarehe 19
Januari mwaka huu
hadi sasa hakuna
majibu yoyote juu ya
vibali vingine kwa bodi ya
sukari wamekataa kutoa
vibali vingine hadi pale
ambapo maelekezo yatatolewa
hivyo basi tunakosa
mwelekeo wa huko mbele
kwa kuwa malighafi hiyo muhimu
ikiadimika tutalazimika kusimama
uzalishaji “
mzigo wote ambao
tumepata ni tani 848 ambao tumepokea
lakini baada ta timu ya
Vwrification kupita kwetu
na tarehe 19
Januari mwaka huu
hadi sasa hakuna
majibu yoyote juu ya
vibali vingine kwa bodi ya
sukari wamekataa kutoa
vibali vingine hadi pale
ambapo maelekezo yatatolewa
hivyo basi tunakosa
mwelekeo wa huko mbele
kwa kuwa malighafi hiyo muhimu
ikiadimika tutalazimika kusimama
uzalishaji “
Alisema wanaomba serikali kusikia
kilio chao kwa
kutafuta ufumbuzi wa haraka wa
jambo hilo zito .
kilio chao kwa
kutafuta ufumbuzi wa haraka wa
jambo hilo zito .
“ Ili serikali
itusaidie kuhakikisha bodi ya
sukari iweze kutupa
muongozo wa juu ya
vibali vingine kabla
hatujaagiza mzigo mwingine
na kabla ya akiba tuliyo nayo
kuisha kwa maana mzigo
hadi ufike kiwandani unachukua muda wa miezi miwili jambo
hili ni muhimu sana
katika maendeleo ya viwanda vyetu
na kwa kuwa tunaongeza mitambo ya pipi
tunahitaji Sukari kwa wingi
kutokana na kuongezeka uzalishaji
“
itusaidie kuhakikisha bodi ya
sukari iweze kutupa
muongozo wa juu ya
vibali vingine kabla
hatujaagiza mzigo mwingine
na kabla ya akiba tuliyo nayo
kuisha kwa maana mzigo
hadi ufike kiwandani unachukua muda wa miezi miwili jambo
hili ni muhimu sana
katika maendeleo ya viwanda vyetu
na kwa kuwa tunaongeza mitambo ya pipi
tunahitaji Sukari kwa wingi
kutokana na kuongezeka uzalishaji
“
Alisema baada ya
serikali ya a wamu ya tano chini
ya Rais Dkt John Magufuli
kuingia madakani soko la
ndani limeongezeka kutokana na
serikali kubana njia za kukwepa
ushuru wa bandarini .
serikali ya a wamu ya tano chini
ya Rais Dkt John Magufuli
kuingia madakani soko la
ndani limeongezeka kutokana na
serikali kubana njia za kukwepa
ushuru wa bandarini .
“ Kubanwa
kwa mianya ya ukwepaji kodi
kumesaidia sana kuongeza
soko la bidhaa zetu
awali bidhaa kutoka
nje zilikuwa zikiuzwa kwa bei
ndogo hasa baada ya ukwepaji
wa kodi na kuhatarisha
bidhaa za ndani .
kwa mianya ya ukwepaji kodi
kumesaidia sana kuongeza
soko la bidhaa zetu
awali bidhaa kutoka
nje zilikuwa zikiuzwa kwa bei
ndogo hasa baada ya ukwepaji
wa kodi na kuhatarisha
bidhaa za ndani .
Comments
Post a Comment