Posts
Showing posts from March, 2016
UJUMBE WA MUUNGANO WA VYAMA VINNE WAWASILI ZANZIBAR KUPATA UKWELI WA HALI YA UCHAGUZI WA MARUDIO
- Get link
- Other Apps
Wakiwasili Ofisi kuu ya chama cha mapinduzi visiwani Unguja Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar akiwaeleza wajumbe hao ni kwanini alifikia maamuzi ya kufuta matokeo ya uchaguzi Nov 25 Fahimu Dovutwa akiwa makini kuandika yale aliyoyasikia kutoka kwa Mzee Jecha John Paul Shibuda ambae ni mwenyekiti wa ummoja huo akitokea ADA-TADEA Mzee John Cheyo akisikilza kwa umakini Mwenyekiti wa ZEC akitoa ufafanuzi wa kilichotokea kwa ujumbe huo mbele ya wanahabari Katika ofisi za CCM ujumbe ulikutana na viongozi waandamizi wa CCM Zanzibar Ujumbe ukiwasili ofisi za CUF Kaimu katibu mkuu wa CUF afafanua kazia ya mtafaruku wa uchaguzi wa Zanzibar
JAJI MKUU WA ZANZIBAR AFAFANUA JUU YA UCHAGUZI WA MARUDIO TAREHE 20 MARC...
- Get link
- Other Apps
ZEC YASEMA HAKUNA ALIYEJITOA KATIKA UCHAGUZI WA MARCH 20 KWA MUJIBU WA S...
- Get link
- Other Apps