Posts

Showing posts from July, 2023

KUWAJALI WATOTO YATIMA NA WALE WAISHIO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI NI JUKUMU LETU SOTE KAMA JAMII. NEEMA GOSPEL CHOIR

Image
Katika dunia hii, tunahitaji kusimama pamoja na kuleta mabadiliko chanya. Tarehe 22 Julai 2023,   The Super Dom, Masaki ,  tunakuja na tukio la kipekee la chakula cha hisani linaloitwa "INSPIRE, EMPOWER, TRANSFORM for a Better  World" kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan,kulinda,kusaidia watoto yatima na wale wenye uhitaji maalumu wapo zaidi ya  Arobaini  waliotufikia kuomba msaada wa jamii  na kwa pamoja tumeamua kuushirikisha umma kujuika nasi, Watoto  h awa Wanahitaji upendo wetu, huduma yetu, na fursa ya kuwa na mustakabali mzuri. Kwa kujiunga nasi kwenye tukio hili, tunawapa tumaini la kuwa na maisha yaliyojaa furaha na mafanikio. Tutaimba,Pamoja tutawawezesha kwa Pamoja na tunakuomba popote ukiguswa Changia mchango wako kwa kutumia njia za malipo zifuatazo: Vodacom MPesa: 5922779, CRDB: 0133549137200, NMB: 20702302010. Amesisitiza Samuel Nkola. Mwenyekiti wa Neema Gospel Choir Neema Gospel Choir Na Mwandishi wetu. KUWAJ