Posts

Showing posts from August, 2022

EWURA INATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA EACOP

Image
Menejimenti ya EWURA na ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta Uganda (PAU) wakiwa Eneo Huru (No man’s Land) katika mpaka wa Tanzania na Uganda (Mutukula) eneo liltakapo pita bomba la kusafirisha mafuta ghafi kwenda Chongoliani, Tanga, Tarehe 15.8.2022 Timu ya EWURA eneo litakalopita Bomba kutoka Uganda kwenda Tanga. Hapa ni Kyaka- Misenyi Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Martin Tiffen akionyesha Ramani Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Mha. Modestus Lumato Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Martin Tiffen( wa pili kushoto) akionesha Timu ya EWURA eneo litakalopita Bomba kutoka Uganda kwenda Tanga. Hapa ni Kyaka- Misenyi