Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana
Popular posts from this blog
NUKUU MUHIMU ZA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI
JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI
Na Beatrice Lymo- MAELEZO “Uhai wa wanyamapori ni jambo linalotuhusu sisi sote katika Afrika, viumbe hai wa porini wakiwa katika mapori waishimo sio muhimu tu kwa ajili ya kuajabiwa na kuvutia lakini pia ni sehemu ya maliasili yetu na mustakabali wa maisha yetu baadaye” Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alisema hayo wakati akitoa tamko la Arusha kuhusu Uhifadhi wa wanyamapori kipindi Tanganyika inapata Uhuru mwaka 1961. Alisema kwa kukubali dhamana ya wanyamapori, watanzania watafanya kila liwezekanalo kuhakikisha wajukuu na watoto wa kitanzania wanaweza kufurahia urithi mkubwa wa thamani hiyo adimu ya wanyamapori. Juhudi za uhifadhi na kulinda rasilimali, malikale na kuendeleza shughuli za ufugaji nyuki pamoja na kukuza Sekta ya Utalii ikiwa ni jukumu la Wizara ya Maliasili na Utalii zilikuwepo hata kabla ya ukoloni ambapo jamii nchini zilitenga mapori kwa ajili ya kuabudia na kutambika. Kuingia kwa wakoloni nchini kuliambatana na kutunga Sheria za uhifadhi wa rasil
Comments
Post a Comment