MAKAMU WA RAIS KUFUTURISHA WANANCHI WA PEMBA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na baadhi ya Viongozi na Wananchi alipowasili Uwanja wa Ndege wa Karume Kisiwani Pemba Leo May 29,2019, kwa ajili ya kufutarisha Wananchi wa Pemba.








Comments

Popular posts from this blog

JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI