TANZANIA TUNAWEZA KILA KITU
NDUGU ZANGU•••
Tujiulize;
•Elimu tunayoipata.. Je inasaidia vipi katika utatuzi wa kudumu wa changamoto zinozoizunguka jamii tunayoishi?
• Inasaidia kwa kiasi gani kuwatatulia matatizo ya kila siku wananchi wenzetu katika mitaa tunayoishi?
maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ ya Wazalendo, Waaminifu, Waadilifu na Wachapa Kazi!
Tujiulize;
•Elimu tunayoipata.. Je inasaidia vipi katika utatuzi wa kudumu wa changamoto zinozoizunguka jamii tunayoishi?
• Inasaidia kwa kiasi gani kuwatatulia matatizo ya kila siku wananchi wenzetu katika mitaa tunayoishi?
maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ ya Wazalendo, Waaminifu, Waadilifu na Wachapa Kazi!
Comments
Post a Comment