VIONGOZI WA DINI IMARISHENI MALEZI KWA VIJANA - WAZIRI MKUU MAJALIWA


 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na waumini wa Kikristo, kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya 53 ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) ulioambatana na harambee ya kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa kitegauchumi cha jumuiya hiyo, uliyofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma Julai 5, 2019. Waziri Mkuu, amemwakilisha Rais Dkt. John Magufuli, katika mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiteta jambo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Askofu, Alinikisa Cheyo, kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya 53 ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) ulioambatana na harambee ya kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa kitegauchumi cha jumuiya hiyo, uliyofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma Julai 5, 2019. Waziri Mkuu, amemwakilisha Rais Dkt. John Magufuli, katika mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Comments

Popular posts from this blog

JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI