MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA KIKRISTO MKOANI MOROGORO LEO TAREHE 08 JULAI, 2021.

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa dini alipowasili katika Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo (CCT) Kilakala, Mkoani Morogoro
Baadhi ya viongozi wa dini na Wakristo waliohudhuria katika Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo (CCT), Kilakala Mkoani Morogoro.
PICHA NA IKULU

Comments

Popular posts from this blog

JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI