Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Azindua Chanjo ya Uviko 19 katika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, Tarehe 28 Julai, 2021

 

FacebooTwitter
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Chanjo ya Uviko 19 katika Viwanja vya Ikulu, Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akionesha Cheti cha Uthibitisho wa Chanjo muda mfupi baada ya kuzindua Chanjo ya Uviko 19.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akipata Chanjo ya Uviko 19 ikiwa ni miongoni mwa Viongozi waliohudhuria uzinduzi huo.

Comments

Popular posts from this blog

JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI