EWURA INATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA EACOP

Menejimenti ya EWURA na ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta Uganda (PAU) wakiwa Eneo Huru (No man’s Land) katika mpaka wa Tanzania na Uganda (Mutukula) eneo liltakapo pita bomba la kusafirisha mafuta ghafi kwenda Chongoliani, Tanga, Tarehe 15.8.2022

Timu ya EWURA eneo litakalopita Bomba kutoka Uganda kwenda Tanga. Hapa ni Kyaka- Misenyi

Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Martin Tiffen akionyesha Ramani Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Mha. Modestus Lumato

Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Martin Tiffen( wa pili kushoto) akionesha Timu ya EWURA eneo litakalopita Bomba kutoka Uganda kwenda Tanga. Hapa ni Kyaka- Misenyi





 

Comments

Popular posts from this blog

JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI