ZIARA YA RC MOROGORO YAUKATAA MRADI WA BARABARA MOROGORO VIJIJINI

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Fatma Mwassa amekataa Mradi wa Barabara ya Zege iliyojengwa Chini ya kiwango , katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kata ya Matombo barabara ya Kigongo Juu . Mkuu wa Mkoa Mhe Fatma Mwassa amemuagiza Katibu tawala wa Mkoa docta Mussa pamoja na Engineer wa Mkoa kumsimamia Mkandarasi kurudia kumwaga zege Upya .  Mkuu wa Mkoa yupo kwenye ziara yake ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kuzunguka Mkoa wa Morogoro na Halmashauri zake zote na leo alikuwa Halmshauri ya Morogoro.







Comments

Popular posts from this blog

JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI