MAONESHO YA 6 YA KIMATAIFA YA UTALII YA KISWAHILI (S!TE) YANAFANYIKA KATIKA JIJI LA KIBIASHARA LA TANZANIA LA DAR-ES-SALAAM

 Tukio hili linaangazia safari za ndani na nje kwenda na ndani ya Afrika. S!TE inalenga kukutanisha wataalamu wengi wa utalii na usafiri kutoka duniani kote.

Hafla hii inalenga kutangaza utalii wa Tanzania kwenye masoko ya kimataifa na pia kuwezesha kuunganisha makampuni ya Tanzania, Mashariki na Afrika ya Kati na makampuni ya utalii kutoka sehemu nyingine za Ulimwenguni.

 



















Comments

Popular posts from this blog

JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI