SIASA ZA KIISTARABU ZA RAISI SAMIA NA KUMBUKUMBU YA TUKIO LA " DINNER TABLE BARGAIN 1790 " NCHINI MAREKANI

Ilikuwa Usiku Wa June 20, 1790 Wakati Mikutano Ya " Congress " Inafanyika Jijini Newyork .Thomas Jefferson Wakati Huo Akiwa Secretary Of The State( Baadae Raisi Wa Tatu Wa Marekani) Alipoamua Kuwaalika Chakula Cha Usiku Watu Wawili Alexander Hamilton Wakati Huo Akiwa Secretary Of Treasure  Na James Madison Mwakilishi Wa Jimbo La Virginia( Baadae Raisi Wa Nne Wa Marekani).

Ni Majadiliani Katika Kikao Hiki "Dinner Table Bargain Of 1790" Kilichoitishwa Na Jafferson Ndicho Kilicholeta Suluhu Hasa Baada Ya Madison Kukubali Hoja Ya Hamilton Na Kushawishi Majimbo Ya Kusini Kuunga Mkono Hoja Na Kwa Pamoja Kulijenga Taifa Lao Ambalo Leo Ni Moja Ya Mataifa Makubwa Na Yenye Nguvu Duniani.


Na Kassim Mpingi  Rufiji-Pwani 

Bila Shaka Taifa Linaunganishwa Na Siasa Za Umoja,Mshikamano,Kusameheana Na Kujenga Nchi Kwa Pamoja(4R).

Vyama Pinzani Baada Miaka Saba Vinaingia Tena Mtaani Kufanya Mikutano Na Kufurahi Matunda Ya Siasa  Safi Na Za Kiistarabu Za Raisi Samia .

Aina Hii Ya Siasa  Anayofanya Raisi Samia Imenifanya Nikumbuke Tukio Muhimu Katika Historia Ya Siasa Za Kiistarabu Duniani Lililotokea Nchini Marekani Mwaka 1790  Lijulikanalo Kama " Dinner Table Bargain " Au " Great Compromise Of 1790 "

Ilikuwa Usiku Wa June 20, 1790 Wakati Mikutano Ya " Congress " Inafanyika Jijini Newyork .Thomas Jefferson Wakati Huo Akiwa Secretary Of The State( Baadae Raisi Wa Tatu Wa Marekani) Alipoamua Kuwaalika Chakula Cha Usiku Watu Wawili Alexander Hamilton Wakati Huo Akiwa Secretary Of Treasure  Na James Madison Mwakilishi Wa Jimbo La Virginia( Baadae Raisi Wa Nne Wa Marekani).

Mualiko Huu Ulisukumwa Na Tofauti Kubwa Na Uhasama Uliokuwa Wakati Huo Katika Ujenzi Wa Taifa  La Marekani .

Tofauti Kubwa Iliyopelekea Kugawanyika Kwa Taifa Lao Ni Hoja Ya Hamilton Na Wenzake Kuwa Serikali Ya Shirikisho (F.G) Ibebe Madeni Ya Majimbo Yatokanayo Na Vita Vya Mapinduzi .Hoja Hii Ililigawa "Congress"  Majimbo Ya Kaskani Yaliunga Mkono Hoja Hii Kwa Vile Madeni Yao Yalikuwa Ni Makubwa Na Wasingeweza Kuyalipa  Huku Majimbo Ya Kusini Akiwemo Madison Wakipinga Kwa Kuwa Wao Walishalipa Madeni Yao.

Na Hoja Ya Pili Ilikuwa Wapi Yawe Makao Makuu Ya Taifa Lao La Marekani .

Ni Majadiliani Katika Kikao Hiki "Dinner Table Bargain Of 1790" Kilichoitishwa Na Jafferson Ndicho Kilicholeta Suluhu Hasa Baada Ya Madison Kukubali Hoja Ya Hamilton Na Kushawishi Majimbo Ya Kusini Kuunga Mkono Hoja Na Kwa Pamoja Kulijenga Taifa Lao Ambalo Leo Ni Moja Ya Mataifa Makubwa Na Yenye Nguvu Duniani.

Na Ni Katika Kikao Hii Ndio Maamuzi Ya Kuwa Makao Makuu Ya Taifa Lao Kuwa Newyork Yalifikiwa

Ndio Maana Tunasema Wakati Huu Nchi Inaunganishwa Na Siasa Za Kiistarabu Za Samia Kupitia Sera Yake Ya "4R" Ni Vyema Kukumbuka Moja Ya Tukio Muhimu Katika Historia Ya Siasa Za Kiistarabu Ulimwenguni.

" The Great Compromise of 1790 

Comments

Popular posts from this blog

JUHUDI ZA MWALIMU NYERERE KATIKA KUKUZA NA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII NCHINI